Habari za masiku wajameni? Nilikuwa nimebanwa sana na kupiga kitabu muda wa kupost huku ukawa haupatikani. Nasikitika ya kwamba kwa kipindi chote nilichokuwa kimya kuna mambo mengi yaliyokuwa yanatokea ulimwenguni lakini sikupata nafasi ya kujadiliana na watu wangu. Sasa mwaka unakaribia kukatika na ni muda wa kuanza kutafakari yale yote yaliyotokea mwaka huu na kuweka maazimio ya mwaka mpya.
Mwaka wa 2011 ulikuwa ni mwaka wa faraja sana kwangu, pamoja na kubanwa sana na masomo baraka za mwnyezi Mungu nimeziona. Tukiachana na mambo binafsi, naamini mwaka huu pia ulikuwa na mafanikio sana kwa Dunia hususani ulimwengu wa waarabu wa Afrika. Najua wengi wa marafiki zangu walinipinga sana kwa sababu za kutompenda Ghadafi lakini nadhani ni kutokana na uelewa wao mdogo kuhusu yule shatani pamoja na propaganda za Tanzania za kuamini kukataa uongozi mbaya ni kukataa Uafrika. Wakati tunaelekea mwisho wa mwaka na mimi kuanzia kesho nitaweka topten ya matukio yaliyokaa nami zaidi mwaka huu .
Monday, December 26, 2011
Saturday, October 22, 2011
Kasheba

Kila wakati nasema nitajitahidi kuwa hewani zaidi lakini lazima nikubali kwamba ratiba yangu ya shule na kazi ni nzito na ndio maana inashindikana. Usiku huu nikiwa kwenye blog ya michuzi nikaona post moja juu ya Ndala Kasheba ikanikumbusha mbali sana na nikaona ni heri kutafuta muda wa kutoa comment.
Nakumbukua siku moja maeneo ya Kawe Club kulikuwa na na bendi ya muziki ikifanya mazoezi. Kwa mapenzi yangu makubwa ya muziki nikaanza kuuliza ilikuwa bandi gani? nikaambiwa ilikuwa ni mchanganyiko wa mastaa wa muziki wa bendi Tanzania. Namkumbuka mwanamziki mmoja aliyeyenivutia sana wakati ule, alikuwa akipiga gitaa kwa umahiri mkubwa na kuimba na siku moja nikamfuata na kumsalimia ijapokuwa kwa hali ya woga na kumwambia kwa jinsi gani ninavyopendelea muziki wake. Alikuwa amevaa shati la kitenge na kofia ya mkeka akaniambia jina lake ni Ndala Kasheba. Nilikiuwa nimemsikia mara nyingi kwenye redio na nafasi ya kuongea nae ilikuwa kama ni ndoto, sijawahi kusahau hata siku moja makutano yangu ya mara ya kwanza nae kwani tulionana mara nyingi baada ya hapo kila jumapili aliyokuja pale Kawe Club.Na nakumbuka kwa huzuzni kubwa siku niliposikia kwamba amefariki dunia. Nilikuwa katika mikakati ya kutaka kumuona akija kwenye ziara ya New York lakini haikutokea. Leo natoa heshima kwa mmoja wa wanamuziki mahiri kabisa duniani Fred Ndala Kasheba. Utabakia kuwa mmoja wa wawakilishi bora zaidi kwenye fani ya muziki wa Kiafrika.
Friday, June 24, 2011
Nipe jibu?
Hivi kunawechezaji wangapi wa mpira wa miguu wakitanzania wanaocheza sika la kulipwa Ulaya? Nazungumzia wachezaji wenye passport za kibongo.
Monday, March 21, 2011
Tanzania inajifunza nini kutoka nchi za kiarabu?
Nimekaa kimya mda mrefu kwa ajili ya kubanwa na shughuli zangu binafsi lakini si kwamba nilikuwa sioni kinachoendelea kwenye nchi za Afrika Kaskazini. Tumeona mapinduzi kwenye za Tunisia na Misri. Machafuko yanayoendelea leo kule Libya. Na swali linalonijia kichwani je tunajifunza nini? Serikali ya CCM inajiandaa vipi kulinda madaraka yake?
Tumeona CHADEMA wakiandamana kila leo na serikali ikijaribu kwa kila njia kupigana nao je ndio kusema ukiona mwenzako ananyolewa basi na wewe tia maji ? Tunasikia watu kama wakina Sophia Simba wakisema eti ni mataifa ya nje yanayowashawishi CHADEMA kuandamana kwa faida ya nchi gani? naweza nikaandika haya maswali mpaka kesho wakati ukeli ni kwamba nahitaji majibu.
Tumeona CHADEMA wakiandamana kila leo na serikali ikijaribu kwa kila njia kupigana nao je ndio kusema ukiona mwenzako ananyolewa basi na wewe tia maji ? Tunasikia watu kama wakina Sophia Simba wakisema eti ni mataifa ya nje yanayowashawishi CHADEMA kuandamana kwa faida ya nchi gani? naweza nikaandika haya maswali mpaka kesho wakati ukeli ni kwamba nahitaji majibu.
Wednesday, February 23, 2011
libya
As the reports of blood shed continues from libya, my thoughts and prayers goes to the victims and their family. Ghadafi is a moron, i can't believe this was a man campaigning for the united states of Africa. He should be made to pay for all the lives he has destroyed.
Sunday, January 16, 2011
Poor Liverpool.
Once again it was pain full to watch a liverpool game today. They played well in the first half but some poor decision making so only one ball hitting the net. It is okay trying to score but what do you do when your team mate is in a much better position? .....Pass the damn ball.
The second half saw defenders starting in a sleeping mode. They didn't challenge for the ball and let the Toffees dictate the game. Referee once again fell a little short. He gave a corner that resulted to an equalizer while the ball came off the Everton player. The build up for the second Everton goal was pretty messy and dangerous the game should have been stopped. On the other hand its the first point for King Kenny I hope he will be taking three points from now on.
The second half saw defenders starting in a sleeping mode. They didn't challenge for the ball and let the Toffees dictate the game. Referee once again fell a little short. He gave a corner that resulted to an equalizer while the ball came off the Everton player. The build up for the second Everton goal was pretty messy and dangerous the game should have been stopped. On the other hand its the first point for King Kenny I hope he will be taking three points from now on.
Saturday, January 15, 2011
New year

I 'm kinda on the late side to start wishing people happy new year but that is due to being so busy on the start of 2011. This year has already promised to be very event full. New year started with black beards falling of the sky, Fish dying in the rivers. Floods that caused a lot of chaos in three different continents. Australian's state of Queensland so the worse floods in decades but thank God the number of lives lost is a fraction compared to the number of lives lost in Brazil's Rio or that of Sri Lanka. The Ivory coast crisis still has no end in site and like most people I'm loosing interest. Arizona shooting of the law maker that left six people dead including a nine years old rocked America.It's a reminder once again of responsible politics, Politicians have to understand they have followers and some of them will do anything you say that is why we have wars all over the world so use your position carefully.{this goes to Sarah Palin}.
But it's not all bad in the beginning of this year.
In Tunisia people took it to the street to end 23 years of oppression, They paid a price for it but hopefully the rewards will greater. In Tanzania the opposition party tried to do the same thing but after a few people got killed by the police they gave up.{those cowards}. EU signed a new gas deal to try to get over there dependence on Russia for the energy or simply speaking they don't wanna freeze there ass again when Russia turn off there pipe lines.
Now to my favorite subject, liverpool. In hope of reviving the team season LFC part ways with Roy Hodgson and in its place came one of the legends of the club Kenny Daglish and so far he has lost all his games. If there is a message from this well you know it, the damn players needs to start playing.
Subscribe to:
Posts (Atom)