Serikali imesema kuwa kwa sasa ipo kwenye mchakato wa kuboresha hospitali za mikoa kufikia kiwango cha rufaa ili ziweze kutoa huduma zitokanazo na ajali kubwa.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Blandina Nyoni, alitoa kauli hiyo wakati akizindua ripoti ya kuzuia ajali kwa watoto.
Nyoni alisema kuwa serikali imeamua kuboresha hospitali hizo kutokana na kwamba wagonjwa wengi wanaopata ajali kubwa husafirishwa kutoka mikoa yao kupelekwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) katika Taasisi ya Mifupa (MOI).
Alisema hospitali za mikoa zikiboreshwa vizuri, zitakuwa zinatoa huduma bora kama zitolewazo na MNH na hatua hiyo itasaidia kupunguza mrundikano wa wagonjwa katika hospitali hizo.
Hata hivyo alisema kuwa suala hilo litasaidia kwa wagonjwa kupatiwa huduma bora kwa haraka zaidi kuliko kusubiri kusafirishwa katika mkoa mwingine kwa ajili ya matibabu.
Alisema bado kuna uhaba wa madaktari bingwa wa upasuaji wa vichwa ambapo kwa sasa serikali inawaanda wataalamu wengine kwa ajili ya kuziba pengo hilo.
“Kama mnavyoelewa suala la madaktari bingwa wa upasuaji wa vichwa wapo wachache kwa hapa nchini, nadhani hawazidi watano hivyo bado kunahitajika wataalamu wengine ambao kwa sasa wanaandaliwa,” alisema Nyoni.
Alisema kumekuwepo na ajali nyingi zitokanazo na vyombo vya barabarani ambazo zimekuwa zikitokea kwa uzembe wa madereva ambao hawafuati sheria.
Nyoni alisema kuwa zaidi ya watu 2800 hufariki dunia katika ajali za barabarani kila mwaka ambapo kwa siku ni watu sita hadi nane na anapokufa mtu mmoja zaidi ya watu10 hupata majeraha na wengine ulemavu.
Nyoni alisema serikali imeliangalia
suala hilo kwa upande wa watoto kutokana na kwamba idadi kubwa ya ajali zimekuwa zikiwaathiri watoto.
“Ajali nyingi zimekuwa ni za watoto na hivyo serikali imebidi kuangalia suala hilo kwa upande wa watoto kutokana na kwamba ni taifa la kesho hivyo tumeamua kufanya tahadhari mapema,” alisema.
Alisema changamoto inayoikabili serikali kwa sasa ni kutoa elimu kwa wananchi ili wajihadhari na ajal hizo.
Alisema madereva wa pikipiki wanaathirika zaidi kutokana na kuendesha bila kuvaa kofia.
Hata hivyo, alisema elimu hiyo pia itatolewa kwa wanafunzi ili wawe na uelewa wa jinsi ya kujikinga na ajali wakiwa wadogo.
Mkurugenzi Mtendaji wa (MOI), Profesa Laurence Museru, alisema kwa sasa ajali zimeongezeka na kwamba nyingi zinatokana na usafiri wa pikipiki.
Kutoka Nipashe
Thursday, July 8, 2010
Brazil kuisamehe Tanzania deni la bilioni 332/
Brazil imesema inatafakari kuisamehe Tanzania deni la Dola za Marekani milioni 240 (Sh. bilioni 332) ambalo serikali ilikopa mwaka 1980.
Hii Imeripotiwa kwenye gazeti la Nipashe. Baada ya kusoma mkopo wenyewe ulikuwa wa kiasi gani ulipotolewa nikabaki na swali moja, hayo madeni mangine yanafananaje? Hivi kweli umasikini utakwisha kama tunakopa shilingi kumi na kurudisha laki? Serekali inabidi iwe wazi kuhusu madeni mengine yanayoikabili nchi sio kutuburuza kwenye madeni ya mikopo ya kiwenda wazimu.
Hii Imeripotiwa kwenye gazeti la Nipashe. Baada ya kusoma mkopo wenyewe ulikuwa wa kiasi gani ulipotolewa nikabaki na swali moja, hayo madeni mangine yanafananaje? Hivi kweli umasikini utakwisha kama tunakopa shilingi kumi na kurudisha laki? Serekali inabidi iwe wazi kuhusu madeni mengine yanayoikabili nchi sio kutuburuza kwenye madeni ya mikopo ya kiwenda wazimu.
Tuesday, June 29, 2010
Will you trust your police after this?
Thieves steal kitchen sink from South Africa police
South Africa's police are investigating after thieves stripped a police station of all its contents, down to the kitchen sink.
The office was under renovations and ready for re-occupation when the thieves hit, reports South Africa's Times Newspaper.
The robbers helped themselves to everything of value - including doors, cupboards, basins, cutlery, tiles, furniture, electrical equipment and mortuary fridges.
Officers from the Carletonville police station, west of Johannesburg, have had to cram into three small rooms.
Continue reading the main story
How bizarre, that the police will now have to investigate a crime committed at a police station
Diane Kohler Barnard DA police spokesperson
The space is inadequate, and there with no holding cells or parking spaces. The rent costs the police about 127,000 rand ($17,000; £11,430) each month, reports The Times.
It is not clear how the burglars managed to clean out the office without being detected by the security company contracted by the Department of Public Works to guard the premises.
Democratic Alliance police spokesperson Dianne Kohler Barnard said that the Department of Public Works had "failed taxpayers".
"How bizarre, that the police will now have to investigate a crime committed at a police station," she said.
"It's absolutely terrible, but typical of Public Works. For them to allow that place to be stripped is outrageous."
Public Works spokesperson Thami Mchunu said he was still gathering information about the incident.
"I will give you the full details as soon as possible," he said, reports the newspaper.
From BBC
South Africa's police are investigating after thieves stripped a police station of all its contents, down to the kitchen sink.
The office was under renovations and ready for re-occupation when the thieves hit, reports South Africa's Times Newspaper.
The robbers helped themselves to everything of value - including doors, cupboards, basins, cutlery, tiles, furniture, electrical equipment and mortuary fridges.
Officers from the Carletonville police station, west of Johannesburg, have had to cram into three small rooms.
Continue reading the main story
How bizarre, that the police will now have to investigate a crime committed at a police station
Diane Kohler Barnard DA police spokesperson
The space is inadequate, and there with no holding cells or parking spaces. The rent costs the police about 127,000 rand ($17,000; £11,430) each month, reports The Times.
It is not clear how the burglars managed to clean out the office without being detected by the security company contracted by the Department of Public Works to guard the premises.
Democratic Alliance police spokesperson Dianne Kohler Barnard said that the Department of Public Works had "failed taxpayers".
"How bizarre, that the police will now have to investigate a crime committed at a police station," she said.
"It's absolutely terrible, but typical of Public Works. For them to allow that place to be stripped is outrageous."
Public Works spokesperson Thami Mchunu said he was still gathering information about the incident.
"I will give you the full details as soon as possible," he said, reports the newspaper.
From BBC
Monday, June 14, 2010
Uchaguzi na mimi. part 1
Kwa kawaida hakuna kipindi cha muhimu kwa nchi yoyote ya mfumo wa kidemokrasia kama kipindi cha uchaguzi mkuu. Kwa nchi nyingi zenye kufuata mfumo huu, kipindi cha uchaguzi kina maana ya wakati wa kuchagua mwelekeo mzima wa nchi kwa kipindi kinachofuata cha uongozi.

Kwa nchi nyingi za kiafrika huu sio ukweli sahihi. Kipindi cha uchaguzi mkuu kimekuwa ndio kipindi cha wasiwasi kwa wananchi wengi. Ni kawaida kabisa kwenye bara hili kwa kampeni kuambatana na vitisho, wanasiasa kukamatwa na polisi, vurugu na umwagaji wa damu na baada ya uchaguzi si jambo la kushangaza kwa jeshi kuchukua nchi.
Kwa nchi nyingi za kiafrica ambazo zilikuwa kwenye siasa ya chama kimoja ni chache sana ambazo zimefanikiwa kubadili chama tawala. Ingawa mara nyingi lawama zinazotolewa ni za wizi wa kura lakini mara nyingi ni ukweli wa kwamba vyama pinzani haviwezi kushindana na chama tawala. Mfano wa nchi kama Tanzania, kuna vyama karibu ishirini, na chama kimoja kati ya vyote kinaweza kusema kimejikita katika kila kijitongoji cha nchi nzima na nacho ni CCM. Kwa miaka takribani thelathini CCM ndio kilikuwa chama pekee. Ndani ya kipindi hiki chama na serikali kilikuwa ni kitu kimoja. Wananchi wote waliokuwa na imani na serikali walikuwa na imani na chama. Asilimia kubwa ya hao wananchi wanaendelea kuwa imani na chama chao leo hii. Na bila kizazi hicho cha wanachi kuweza kubadilika itachuwa muda mpaka uchaguzi mkuu wa Tanzania kuwa na maana. Tanzania itabidi isubiri mpaka kizazi kipya kizidi namba ya kizazi cha zamani.

Pamoja na kwamba tasmini yangu inaonyesha kwamba swala mabadiliko ya chama tawala ni swala lisilowezekana Tanzania kwa muda huu lakini sio kweli kwamba haliwezekani kabisa. Uwezekano upo kama vyama vya upinzani vingeweza kuungana na kutoa upinzani wa kweli. Ninaposema kuungana simaanishi kusimamisha mgombea mmoja kwa vyama vyote bali ni kuunganiasha vyama vyote na kubaki na chama kimoja chenye nguvu. Kama hilo litawezekana basi mabadiliko yatawezekana.

Kwa nchi nyingi za kiafrika huu sio ukweli sahihi. Kipindi cha uchaguzi mkuu kimekuwa ndio kipindi cha wasiwasi kwa wananchi wengi. Ni kawaida kabisa kwenye bara hili kwa kampeni kuambatana na vitisho, wanasiasa kukamatwa na polisi, vurugu na umwagaji wa damu na baada ya uchaguzi si jambo la kushangaza kwa jeshi kuchukua nchi.
Kwa nchi nyingi za kiafrica ambazo zilikuwa kwenye siasa ya chama kimoja ni chache sana ambazo zimefanikiwa kubadili chama tawala. Ingawa mara nyingi lawama zinazotolewa ni za wizi wa kura lakini mara nyingi ni ukweli wa kwamba vyama pinzani haviwezi kushindana na chama tawala. Mfano wa nchi kama Tanzania, kuna vyama karibu ishirini, na chama kimoja kati ya vyote kinaweza kusema kimejikita katika kila kijitongoji cha nchi nzima na nacho ni CCM. Kwa miaka takribani thelathini CCM ndio kilikuwa chama pekee. Ndani ya kipindi hiki chama na serikali kilikuwa ni kitu kimoja. Wananchi wote waliokuwa na imani na serikali walikuwa na imani na chama. Asilimia kubwa ya hao wananchi wanaendelea kuwa imani na chama chao leo hii. Na bila kizazi hicho cha wanachi kuweza kubadilika itachuwa muda mpaka uchaguzi mkuu wa Tanzania kuwa na maana. Tanzania itabidi isubiri mpaka kizazi kipya kizidi namba ya kizazi cha zamani.

Pamoja na kwamba tasmini yangu inaonyesha kwamba swala mabadiliko ya chama tawala ni swala lisilowezekana Tanzania kwa muda huu lakini sio kweli kwamba haliwezekani kabisa. Uwezekano upo kama vyama vya upinzani vingeweza kuungana na kutoa upinzani wa kweli. Ninaposema kuungana simaanishi kusimamisha mgombea mmoja kwa vyama vyote bali ni kuunganiasha vyama vyote na kubaki na chama kimoja chenye nguvu. Kama hilo litawezekana basi mabadiliko yatawezekana.
Saturday, June 12, 2010
USA 1 , England 1


The funny thing happened this afternoon while I m watching the soccer game between US and England,I grabbed my phone to start blog about Clint Dempsey the US player and there he scored.I was watching the first half of this game winding down and in my mind there was nothing more than why is the media in the US all about Donovan? I have seen Donovan play so many time s and for me he is not more than just a regular hard working player. But it is very different for Dempsey,hard working? yes,skillful?yes, luckier hell yeah.
For any soccer know how knows the beautiful game is more than skills and ranks, there is luck. I m not in any way trying to play down Dempsey skills on the game but I also have to point out he has luck on his side.He comes to this big game with no one speak of him but I know one thing for sure he always shine.I would have him in my time at any given day. Yes Robert Green made a mistake, but from the other angle Dempsey was lucky once again.
It is very important for any manager at this level to understand what they have in store even when the media doesn't. For countries like South Africa is the speed even though they lack the strength, Nigeria is the strength and skill even though they lack tack-ticks and for the US will be Dempsey and the long balls which they seem to handle better than any one else.
World cup is a stage where the unknown become the idols and some of known become phenomenon. It is the stage where trying can can make you the greatest. US should utilize this opportunity to gain the respect they truly deserve in the soccer world of today.

Wednesday, June 9, 2010
Taifa stars kipute na Brazil maendeleo yanaonekana

Malalamiko mengi yalitolewa kuhusu kocha aliyemaliza muda wake bwana Maximo. Kuanzia kwenye uchaguzi wa timu hadi kwenye perfomance ya timu,lakini ukichunguza sana utaona ya kwamba watu hawakumfurahia kwa sababu kocha aliapewa uhuru wa kuchagua timu yake mwenyewe, na swala laperfomance lazima tukubaliane kocha alikuwa anafanya mafunzo yaliyotakiwa kutolewa kwenye vilabu watokapo wachezaji badala ya kufanya kazi yake kama kocha wa timu ya taifa.
Kwa muda mrefu tulishazoea kuwalazimisha makocha katika uchaguzi wao wa wachezaji hata kama wachezaji hao hawaendani na staili ya kocha. Kwenye mechi zidi ya Brazili kulikuwa na malalamiko kama hayo wakati ukweli ni kwamba hata Dunga amefagilia uchezaji wa timu yetu.Timu ilionyesha nidhamu, na kijiamini,na ninaamini kufungwa kwetu nikutokana na kukosa udhoefu kama waliokuwa nao wapinzani wetu.
Kama kuna kitu kukubwa kilichomuumiza akili Maximo katika uchaguzi wa timu ni maumbo ya mwili. Wachezaji wengi dunia hii ya leo wanamaumbo makubwa kitu ambacho ni adimu bongo. Watanzania kwa wastani tuna maumbo madogo tofauti na nchi nyingi. Ili tuweze kufanikiwa tunahitaji tujue jinsi yakutumia walakini wetu kama faida, tuweze kuleta ladha tofauti dimbani kama Ngasa.
Sababu kubwa inayoleta matatizo kwa kocha yoyote wa kigeni bongo ni ukosefu wa mafunzo ambayo ni basic kwa wachezaji wengi.Kocha wa timu ya taifa kazi yake ni kupanga mikakati ya ushindi na si kufundisha basics kama stamina na ball control. Tatizo la timu zetu nyingi bado zinatoa mazoezi ya mwaka arubaini na saba na hazina hata mazoezi ya vitu vizito kuongeza stamina kwa wachezaji. Lazima tuelewe kwamba nchi za wenzetu kwenye ngazi ya kilabu wachezaji wanapewa restrictions kwenye chakula na pombe. Wakati hali hii haipo kwenye asilimia kubwa za timu zetu ni juu ya mwanamichezo mwenyewe kuamua nini chakula au kunywa.
Ni kweli magoli tulipigwa lakini nani ambaye hakutegemea hilo?Cha muhimu ilikuwa nikujitangaza na hilo limefanikiwa. Kila la heri kwa kocha mpya you have some big shoes to fill.
Saturday, June 5, 2010
Tanzania kulipa Brazil ulakini upo wapi?
mijadala imeibuka sehemu nyingi juu ya malipo ya mamilioni ya fedha yaliyotolewa ili kuileta timu ya taifa ya brazili kupambana na tanzania.Kwa watu wengi haina sense pale nchi masikini kama hii ambayo hata bajeti ya taifa inachangiwa na wahisani inapoamua kutupa hela.Ki kawaida ningekuwa mtu wa kwanza kupingana na swala hili lakini sitaki kikurupika tu lazima niangalie pande zote za sumni.Ni kweli kabisa hii hela ingeweza kufanya mambo mengi mengine ya maana lakini leo hili ndio jambo la maana.Kama kweli tunataka kuitangaza nchi yetu duniani basi lazima tulopod gharama zake,toka lini ukapeleka matangazo yako kwenye vyombo vya habari yakatangazwa bure? Lazima tukumbuke waamichezo wetu wengi wamekuja na kuondoka bila kupata nafasi ya kuonekana kimataifa. Hii ni nafasi kubwa kwa wachezaji wetu kuonekana ulimwenguni,ni nafasi kwa watu kufahamu kuna nchi inayoitwa Tanzania na ipo Africa na sio Carribean. Kila la heri Taifa stars,wachezaji wetu this is your time to shine. Mungu ibariki Tanzania
Subscribe to:
Posts (Atom)